Katibu wa tawi la CCM China ndugu Yazid Iddi amekabidhi taarifa ya maoni na Mapendekezo mbalimbali kutoka kwa wanachama wa tawi la CCM China yatakayochakatwa na baadae kuingizwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa CCM ya 2020-2025.

Katibu Mkuu wa CCM Taifa ndugu Dr. Bashiru Ally akipokea taarifa hiyo amepongeza Viongozi Na Wanachama wa tawi la CCM China kwa kuwa mabalozi wazuri katika kufanya mambo mema yenye tija ya kujenga taifa bora —Novemba 18,2019 —Dodoma,Tanzania

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...