Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shaban (wa pili kushoto), akikabidhi tuzo ya mshindi wa tatu katika kitengo cha mabenki makubwa ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na  Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) kwa Kaimu  Mkurugenzi wa Idara ya Fedha ya Benki yaa Barclays Tanzania, Bernard Tesha katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.  Kulia ni Meneja wa Kitengo cha Usimamizi wa Fedha wa benki hiyo, Muhsin Kaye na kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA, Prof. Isaya Jairo. 
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Barclays Tanzania, Bernard Tesha (kulia), na Meneja wa Kitengo cha Usimamizi wa Fedha wa benki hiyo, Muhsin Kaye, wakionyesha tuzo ya mshindi wa tatu katika kitengo cha mabenki makubwa ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na  Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) iliyoshinda benki hiyo mara baada ya kukaabidhiwa jijini Dar es Salaam h kwa Kaimu  Mkurugenzi wa Idara ya Fedha ya Benki yaa Barclays Tanzania, Bernard Tesha katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...