Mkurugenzi wa T-Pesa, Lulu Mkudde (kulia), akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo katika hafla ya uzinduzi wa ushirikiano wa huduma za kifedha kati ya NBC na T-Pesa ambapo wateja wa NBC wataweza kutoa na kutuma pesa kutoka katika akaunti zao kupitia huduma ya simu za mkononi ya T-Pesa. Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Kibenki Kidigitali wa Benki ya NBC, Deogratius Mosha.

Mkurugenzi wa Huduma ya T-Pesa, Lulu Mkudde (kulia), akionyesha jinsi ya kufanya muamala wa kifedha kutoka katika akaunti ya Benki ya NBC kupitia huduma ya kifedha kupitia T-Pesa ya Kampuni ya TTCL, katika hafla ya uzinduzi wa ushirikiano wa huduma za kifedha kati ya T-Pesa na NBCambapo wateja wa NBC wataweza kutoa na kutuma pesa kutoka katika akaunti zao kupitia huduma ya simu za mkononi ya T-Pesa. Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Kibenki Kidigitali wa NBC, Deogratius Mosha. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Huduma za Kibenki Kidigitali wa Benki ya NBC, Deogratius Mosha (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo katika hafla ya uzinduzi wa ushirikiano wa huduma za kifedha kati ya NBC na T-Pesa ambapo wateja wa NBC wataweza kutoa na kutuma pesa kutoka katika akaunti zao kupitia huduma ya simu za mkononi ya T-Pesa. Kulia ni Mkurugenzi wa T-Pesa, Lulu Mkudde.
Mkurugenzi wa T-Pesa, Lulu Mkudde (kulia), akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo katika hafla ya uzinduzi wa ushirikiano wa huduma za kifedha kati ya NBC na T-Pesa ambapo wateja wa NBC wataweza kutoa na kutuma pesa kutoka katika akaunti zao kupitia huduma ya simu za mkononi ya T-Pesa. Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Kibenki Kidigitali wa Benki ya NBC, Deogratius Mosha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...