Naibu Waziriwa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya (wa kwanza kulia) akimkabidhi Mteja wa BRELA Cheti cha Usajili wa jina la Biashara yake alilosajili na kukamilika ndani ya dakika 5 kwenye Maonesho ya bidhaa za Viwanda (Sabasaba).
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya (wapili kutoka kulia )akikiangalia cheti cha Mteja wa BRELA cha Usajiliwa jina la Biashara yake alilosajili na kukamilika ndani ya Dakika 5 kwenye Maonesho ya nne ya bidhaaza Viwanda. 
 Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Loy Mhando akimuelezea Naibu Waziri wa Viwanda Na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya majukumu mbalimbali ambayo Wakala inayafanya ya kiwemo Usajili wa Makampuni, Majina ya Biashara, Alama za Biashara na Huduma Hataza pamoja na Leseni za Viwanda.
 Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Loy Mhando (wapili kutoka kutoka kulia) akifurahi pamoja na Mtejawa BRELA aliyepata cheti ndani ya dakika tano.
Wafanyakazi wa BRELA wakiwa kwenye banda la Maonesho ya Bidhaa za Viwanda katika uwanja wa Mwl. J.K Nyerere ( Sabasaba).

kutoka kushoto ni  AfisaTehama,Hilary Mwenda, Afisa Leseni  Yusuph Nakapala  Afisa Habari na Mawasiliano, Robertha Makinda, Msaidizi wa Usajili Mkuu Hellen Mhina na Afisa Mwandamizi Msaidizi wa Usajili, Ruth Mmbaga.

Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wanawakaribisha katika maonesho ya nne (4) ya bidhaa za Viwanda yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salama ambayo ya tahitimishwa Desemba 9, 2019.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...