Mwenyekiti wa
Bodi ya Benki ya NMB, Profesa Joseph Semboja akizungumza katika kikao
cha Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), kilichofanyika Bungeni
Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki hiyo kwa ajili
ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki
hiyo.Pembeni yake ni Kaimu Mkurugenzi Ndugu Ruth Zaipuna.
Kaimu Mkurugenzi
wa Benki ya NMB, Ndugu Ruth Zaipuna akizungumza katika kikao cha Kamati
ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), kilichofanyika Bungeni Jijini
Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki hiyo kwa ajili ya
kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki
hiyo.Pembeni yake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Profesa Joseph
Semboja.
Wajumbe wa Kamati
ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), wakiwa katika kikao cha kamati
Bungeni Jijini Dodoma.kamati hiyo ilikutana na uongozi wa Benki ya NMB
kwa ajili ya kupokea taarifa ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika
Benki hiyo.Pembeni yake ni Katibu wa Kamati, Elieka Saanya.
Mwenyekiti wa
kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Dkt. Raphael
Chegeni akizungumza katika kikao cha kamati Bungeni Jijini Dodoma.kamati
hiyo ilikutana na uongozi wa Benki ya NMB kwa ajili ya kupokea taarifa
ya uwekezaji uliofanywa na Serikali katika Benki hiyo.Pembeni yake ni
Katibu wa Kamati, Elieka Saanya.
PICHA NA OFISI YA BUNGE.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...