Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James akizungumza katika mafunzo ya Wakurungezi na Wenyeviti wa Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na Mashirika ya Umma alipowasili kufungua mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa bodi hizo.
  Msajili wa Hazina, Athumani Mbutuka akizungumza katika mafunzo ya Wakurungezi na Wenyeviti wa Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na Mashirika ya Umma yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa bodi hizo.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James, akiwa katika  picha ya pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), mara baada ya kufungua mafunzo ya Wakurungezi na Wenyeviti wa Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na Mashirika ya Umma yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa bodi hizo.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James, akiwa katika  picha ya pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) mara baada ya kufungua mafunzo ya Wakurungezi na Wenyeviti wa Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na Mashirika ya Umma yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa bodi hizo.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James, akiwa katika  picha ya pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) mara baada ya kufungua mafunzo ya Wakurungezi na Wenyeviti wa Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na Mashirika ya Umma yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa bodi hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...