Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James akizungumza katika
mafunzo ya Wakurungezi na Wenyeviti wa Bodi mbalimbali za Taasisi,
Wakala na Mashirika ya Umma alipowasili kufungua mafunzo hayo
yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere
Jijini Dar es Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa
bodi hizo.
Msajili wa Hazina, Athumani Mbutuka akizungumza katika mafunzo ya
Wakurungezi na Wenyeviti wa Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na
Mashirika ya Umma yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa
Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha
utendaji kazi wa bodi hizo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James, akiwa katika
picha ya pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
(UDSM), mara baada ya kufungua mafunzo ya Wakurungezi na Wenyeviti wa
Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na Mashirika ya Umma yaliyofanyika
katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es
Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa bodi hizo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James, akiwa katika
picha ya pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Uwakala wa Meli
Tanzania (TASAC) mara baada ya kufungua mafunzo ya Wakurungezi na
Wenyeviti wa Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na Mashirika ya Umma
yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere
Jijini Dar es Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa
bodi hizo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James, akiwa katika
picha ya pamoja na Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa
(NARCO) mara baada ya kufungua mafunzo ya Wakurungezi na Wenyeviti wa
Bodi mbalimbali za Taasisi, Wakala na Mashirika ya Umma yaliyofanyika
katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere Jijini Dar es
Salaam, mafunzo hayo yanalenga kuimarisha utendaji kazi wa bodi hizo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...