Mkuu wa Wilaya ya Dodoma ,Patrobas Katambi (kulia) akijadiliana jambo na Meneja mauzo mwandamizi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Kanda ya Kati, Andrew Temu (kushoto) na Meneja wa masoko Vodacom Kanda ya kati ,Baraka Siwa alipotembelea Ofisi za Vodacom Kanda ya Kati zilizopo eneo la Kilimani Jijini Dodoma mwisho wa wiki, kuangalia zoezi la usajili wa laini za simu kwa alama za vidole linavyoendelea
Meneja mauzo mwandamizi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Kanda ya Kati, Andrew Temu (kushoto) akimpa maelezo Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi (wapili toka kushoto) wakati alipotembelea duka la Kampuni hiyo jijini Dodoma mwishoni mwa wiki kuangalia zoezi la usajili wa laini za simu kwa alama za vidole linavyoendelea ambapo Serikali ilitangaza mwisho wa zoezi hilo ni tarehe 20 ya mwezi huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...