Katibu Tawala Wilaya ya Kusini Unguja Kibibi Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Paje kuhusu kutoa mashirikiano kwa Madaktari wa Shirika la utoaji wa Miwani la Sweden wakati akizindua huduma za macho huko Kituo cha Afya Paje Mkoa wa Kusini Unguja.
 Mkuu wa Kitengo kutoka Shirika la utoaji Miwani la Sweden Caroline Schiller akifanya zoezi la kumpima Macho Mtoto Kassim Juma katika Kituo cha Afya Paje.
 Mmoja kati ya Wananchi waliyojitokeza kupata huduma za macho Maua Sleiman Said akijaribu kusoma wakati akipatiwa huduma hiyo na Daktari kutoka Shirika la utoaji wa miwani la Sweden Julia Sandberg katika Kituo cha Afya Paje Wilaya ya Kusini.
 Daktari kutoka Shirika la utoaji wa Miwani la Sweden Emma Elmebno akimpima Miwani Sofia Khamiss Juma katika hafla iliyofanyika Kituo cha Afya Paje.
  Mratibu kutoka Shirika la utoaji Miwani la Sweden Happiness Urassa akitoa Maelezo kuhusu zoezi zima la kutoa huduma za macho huko Kituo cha Afya Paje.
 Baadhi ya Wananchi waliofika kupata huduma za macho huko kituo cha Afya Paje Mkoa wa Kusini Unguja. Picha Na Maryam Kidiko - Idara ya habari Maelezo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...