Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi Mkuu wa kitengo cha cardiovascular radiology ambaye pia ni Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo Engerasiya Kifai  mashine ndogo ya kiganjani (V-Scan dual) ya kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echo Cardiogram), kupima mishipa ya damu na ultrasound ambayo Taasisi hiyo imepewa msaada na kampuni ya Computech30.Kulia ni Sandip Datta ambaye ni Meneja Mkuu wa kampuni ya Computech30.
Mkuu wa kitengo cha cardiovascular radiology ambaye pia ni Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Engerasiya Kifai  akiangalia mashine ndogo ya kiganjani (V-Scan dual) ya kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echo Cardiogram), kupima mishipa ya damu na ultrasound ambayo Taasisi hiyo imepewa msaada na kampuni ya Computech30.Mashine hiyo yenye thamani ya shilingi milioni 22 itatumika kwa wagonjwa walioko wodini na wakati wataalamu wa Taasisi hiyo watakapokwenda kwa wananchi kutoa huduma za upimaji wa magonjwa ya moyo (Outreach program) .
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akipokea msaada wa mashine ndogo ya kiganjani (V-Scan dual) ya kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echo Cardiogram), kupima mishipa ya damu na ultrasound kutoka kwa Sandip Datta ambaye ni Meneja Mkuu wa kampuni ya Computech30.Mashine hiyo yenye thamani ya shilingi milioni 22 itatumika kwa wagonjwa walioko wodini na wakati wataalamu wa Taasisi hiyo watakapokwenda kwa wananchi kutoa huduma za upimaji wa magonjwa ya moyo (Outreach program) .
Picha na JKCI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...