Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na Naibu
Mkuu wa Jeshi la Polisi Uganda, John Ndungutse katika hotel ya Golden
Tulip jijini Dar es Saalaam baada ya kufungua mkutano wa Kamati Tendaji
za Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki mwa Afrika (EAPCCO). Mkutano
huo umeshirikisha nchi 14 kutoka kwenye shirikisho hilo ambapo
wamekutana kujadili na kupanga mikakati ya kupambana na uhalifu
unaovuka mipaka. Picha na jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akitoa hotuba ya ufunguzi
wa Mkutano wa Kamati Tendaji za Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki
mwa Afrika (EAPCCO) katika hotel ya Golden Tulip. Mkutano huo
umeshirikisha nchi 14 kutoka kwenye shirikisho hilo ambapo wamekutana
kujadili na kupanga mikakati ya kupambana na uhalifu unaovuka mipaka.
Picha na jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati mbalimbali za Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki mwa Afrika (EAPCCO) baada ya ufunguzi wa mkutano huo ulioshirikisha nchi 14 kutoka kwenye shirikisho hilo ambapo wamekutana kujadili na kupanga mikakati ya kupambana na uhalifu unaovuka mipaka. Picha na jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...