Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Kamishna Msaidizi Omar
Khamis Omar (kulia) na Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna
Msaidizi Mwandamizi, Tunu Ng’ondya wakati alipotembelea Shule ya Polisi
Moshi Tanzania,mwishoni mwa wiki kufuatilia masuala mbalimbali katika
shule hiyo inayofundisha fani tofauti zenye lengo la kuzuia na kupambana
na uhalifu nchini.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akiandika maelezo yanayotolewa na Kamishna
Msaidizi Omar Khamis Omar (kulia), wakati alipotembelea Shule ya Polisi
Moshi Tanzania,mwishoni mwa wiki kufuatilia masuala mbalimbali katika
shule hiyo inayofundisha fani tofauti zenye lengo la kuzuia na kupambana
na uhalifu nchini. Kushoto ni Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro,
Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Tunu Ng’ondya.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kamishna Msaidizi Omar Khamis
Omar, akisoma taarifa ya maendeleo ya mafunzo mbalimbali yanayoendelea
katika Shule ya Polisi Moshi Tanzania kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani
ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati naibu waziri alipotembelea shule
hiyo, mwishoni mwa wiki kufuatilia masuala mbalimbali katika shule
hiyo inayofundisha fani tofauti zenye lengo la kuzuia na kupambana na
uhalifu nchini.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Kilimanjaro,Kamishna Msaidizi Salum Hamduni akizungumza wakati wa kikao
cha Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni(kulia)
na Uongozi wa Shule ya Polisi Moshi Tanzania, mwishoni mwa wiki ikiwa
ni ziara yenye lengo la kufuatilia masuala mbalimbali katika shule hiyo
inayofundisha fani tofauti zenye lengo la kuzuia na kupambana na
uhalifu nchini.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Kilimanjaro,Kamishna Msaidizi Salum Hamduni akizungumza wakati wa kikao
cha Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni(kulia)
na Uongozi wa Shule ya Polisi Moshi Tanzania,mwishoni mwa wiki ikiwa
ni ziara yenye lengo la kufuatilia masuala mbalimbali katika shule hiyo
inayofundisha fani tofauti zenye lengo la kuzuia na kupambana na
uhalifu nchini.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...