Tunapenda kukujulisha mnada mkubwa wa Magari, Furniture za majumbani,Mafridge, Generator na vitu vingine vingi kutoka Ubalozi wa Marekani na Switzerland.

Mnada utafanyika siku ya Jumamosi ya wiki hii Februari 22, 2020 kuanzia saa 4 asubuhi. 
Mahali: Golden Resort,  Sinza jirani na Lion Hotel, Dar es salaam


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...