Na Amiri kilagalila-Njombe

Askari watatu kati ya kumi na mbili wa jeshi la polisi mkoani Njombe waliokuwemo kwenye gari la polisi, wamefariki dunia katika ajali iliyotokea majira ya saa 12 asubuhi ya leo ,baada ya kugongana kwa gari la polisi na basi la abiria kampuni ya Sharon lenye namba za usajili T349 CXB linalofanya safari zake Arusha-Njombe,Alto Mtega mganga mfawidhi hospitali ya mji Njombe (Kibena) amethibitisha.
 
Tutawaletea taarifa kamili,Endelea kufuatilia Michuzi Globu.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...