Na Amiri kilagalila-Njombe
Askari watatu kati ya kumi na mbili wa jeshi la polisi mkoani Njombe waliokuwemo kwenye gari la polisi, wamefariki dunia katika ajali iliyotokea majira ya saa 12 asubuhi ya leo ,baada ya kugongana kwa gari la polisi na basi la abiria kampuni ya Sharon lenye namba za usajili T349 CXB linalofanya safari zake Arusha-Njombe,Alto Mtega mganga mfawidhi hospitali ya mji Njombe (Kibena) amethibitisha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...