Picha tofauti zikionesha maendeleo ya ujenzi wa SGR stesheni tofauti kwa kipande cha Daresalaam-Morogoro na kuonesha kukamilika kwa utandikaji wa nguzo na nyaya za umeme kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa na treni ya umeme.






Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...