Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango
katika Kikao cha utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba
2019,kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa (katikati)
alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi
cha Julai-Disemba 2019,wakati wa kikao cha uongozi wa Wizara
hiyo,kilichofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar, Mwenyekiti wake akiwa Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani) wengine Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee
(kulia) na Mshauri wa Rais masuala ya Fedha na Uchumi Bw.Abdulrahman
Mwinyi Jumbe.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Nd,Khamis Mussa Omar (kushoto)
pamoja na watendaji mbali mbali katika Wizara hiyo wakiwa katika kikao
cha utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba 2019,
kilichofanyika leo ambapo Mwenyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
Ikulu Mjini Zanzibar.
Wakurugenzi wa Idara mbali mbali katika Wizara ya Fedha na Mipango
wakifuatilia kwa makini Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango kazi kwa
kipindi cha Julai-Disemba 2019,iliyosomwa katika kikao maalum
kilichofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar ambapo Mwenyekiti
wake akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein (hayupo pichani).
Makamishna mbali mbali wa Wizara ya Fedha na Mipango wakiwa katika Kikao
cha utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba
2019,kilichofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baars la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (hayupo pichani).
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Nd,Khamis Mussa Omar (kushoto)
alipokuwa akisoma taarifa ya utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha
Julai-Disemba 2019 katika kikao cha Wizara hiyo kilichofanyika leo Ikulu
Mjini Zanzibar, ambapo Mwenyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo
pichani),Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Nd,Mwita Mgeni Mwita (kulia).
Viongozi mbali mbali wa Wizara ya Fedha na Mipango wakiwa katika Kikao cha utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba 2019,kilichofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar, chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baars la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani). (Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...