RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali
Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee
Wanawake na Watoto Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji taarifa ya
Utekelezaji Mpango Kazi wa Wizara hiyo kwa kipindi cha mwezi wa Julai
hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar..(kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.
Balozi Seif Ali Iddi na (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu
wa Baraza la Mapinduzi.Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kazi Uwezeshaji
Wazee, Wanawake na Watoto Zanzibar, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar, wakati wa kuwasilishwa kwa Taarifa ya Utekelezaji Mpango
Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, (kushoto kwa Rais)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na (kulia
kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi.Dkt.
Abdulhamid Yahya Mzee.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akimsikiliza Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na
Watoto Zanzibar.Mhe. Maudline Castico, akiwasilisha taarifa ya
Utekelezaji Mpango Kazi wa Wizara yake kwa mwezi wa Julai hadi Disemba
2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
WAZIRI wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar. Mhe,
Maudline Castico akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa
Wizara yake kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, (kushoto)
Katibu Mkuu Jiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Abdulhamid
Yahya Mzee na (kulia) Naibu Waziri Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee
Wanawake na Watoto Zanzibar. Mhe. Shadya Mohammed.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Maofisa Idara mbalimbali za Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee
Wanawake na Watoto Zanzibar, wakifuatila mkutano huo wa uwasilishaji wa
taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba
2019 /2020. Uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
KATIBU Mkuu Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar
Bi. Fatma Gharib Bilal akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji Mpango Kazi
kuazia mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani) kulia
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,.Balozi Seif Ali Iddi.(Picha na
Ikulu)
BAADHI ya Wakurugenzi wa Idara za Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee
Wanawake na Watoto Zanzibar, wakifuatilia taarifa ya Utekelezaji wa
Mpango Kazi kuazia mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, wakati
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo akiwasilisha taarifa hiyo, katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKURUGENZI Idara ya Mikopo Ndg. Suleiman Ali akijibu maswali
yalioulizwa wakati wa mkutano huo wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa
mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo
pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
AFISA Mdhamini Wizara ya Kazi Uwezeshaji wa Wazee Wanawake na Watoto
Pemba Ndg Hakim Vuai Shein, akijibu maswali wakati wa mkutano wa
kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara hiyo kwa
mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020 , uliofanyika katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKURUGENZI Idara ya Uwezeshaji Ndg. Ameir Haji Sheha akijibu masuali yalioulizwa wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara yake kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...