RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali
Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ,
uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, wakati
wakiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai
hadi Disemba 2019 /2020, (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu
wa Baraza la Mapinduzi.Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee na Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za
SMZ.Mhe. Haji Omar Kheri.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Maofisa wa Idara mbalimbali za Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ,
wakifuatilia mkutano huo wa kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa
Mpango Kazi kwa Wizara yao kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 hadi
2020. Uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed
Shein,(hayupo pichani)
BAADHI ya Wakuu Mikoa ya Unguja na Pemba wakifuatilia mkutano wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara yao kwa kipindi cha mwezi Julai
hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar,
ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
MKURUGENZI wa Jiji la Zanzibar Ndg Ali Khamis Juma wa kwanza akiwa na
Maofisa wa Idara mbalimbali za Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, wakifuatilia taarifa
ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019
/2020, wakati ikiwasilishwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo.Bi. Radhia
Rashid Haroub (hayupo pichani) akiwasilisha taarifa hiyo.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na
Idara Maalum za SMZ. Mhe. Haji Omar Kheri . akiwasilisha muktasari wa
Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara yake kwa mwezi wa
Julai hadi Disemba 2019 /2020 uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar. (Kushoto) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la
Mapinduzi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.
BAADHI ya Wakuu wa Wilaya za Unguja na Pemba wakifuatila taarifa ya
Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020,
wakati Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ. Bi. Radhia Rashis
Haroub,(hayupo pichani) akiwasilisha taarifa hiyo katika mkutano huo,
uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
KATIBU Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa na Idara Maalum za SMZ. Bi. Radhia Rashid Haroub akiwasilisha
Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara yake kwa kipindi cha
mwezi wa Julai hadi Disemba.2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar, ukingozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.Ndg. Saleh Mohammed
Juma, akijibu swali wakati wa mkutano wa Utekelezaji Mpango Kazi kwa
mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, uliofanyika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar. Ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk, Ali Mohamed Shein.(hayupo
pichani)
MKUU wa Wilaya ya Mjini Unguja Bi. Marine Joe Thomas akijibu swali
wakati wa mkutano wa Utekelezaji Mpango Kazi kwa Wizara ya Nchi Ofisi
ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, kwa
kipindi cha mwezi Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ukingozwa can Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, (hayupo
pichani)
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud akijibu swali
wakati wa mkutano wa Utekelezaji Mpango Kazi kwa Wizara ya Nchi Ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ,
uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ukiongozwa na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein.(hayupo pichani)
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Kaskaziniu Unguja Ndg. Omar Hassan Masoud
akitowa maelezo wakati wa mkutano wa kuwasilisha Taarifa za Utekelezaji
Mpango Kazi kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, kwa Wizara ya
Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maaluim
za SMZ. Uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
Katibu Tawala wa Wilaya Ndogo ya Tumbatu Ndg. Khatib Habib Ali, akitowa maelezo wakati wa mkutano wa kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji Mpango Kazi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...