Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa Polisi
Salum Hamduni, akiangalia mandhari ya ndani ya gari lililotumiwa na Baba
wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere wakati wa harakati za
kutafuta Uhuru wa Tanganyika, gari hilo limepaki Makao Makuu ya Chama
cha Mapinduzi, mkoani Kilimanjaro.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa Polisi
Salum Hamduni, akimuonyesha Mkuu wa Uhamiaji, Mkoa wa
Kilimanjaro,Kamishna Msaidizi Mwandamizi Tunu Ng’ondya mandhari ya
ndani ya gari lililotumiwa na Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage
Nyerere wakati wa harakati za kutafuta Uhuru wa Tanganyika, gari hilo
limepaki Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi, mkoani Kilimanjaro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa Polisi Salum Hamduni, akisoma taarifa fupi iliyobandikwa ndani ya gari lililotumiwa na Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere wakati wa harakati za kutafuta Uhuru wa Tanganyika,kulia ni Mkuu wa Uhamiaji, Mkoa wa Kilimanjaro,Kamishna Msaidizi Mwandamizi Tunu Ng’ondya, gari hilo limepaki Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi, mkoani Kilimanjaro.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...