Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na familia ya Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Hayati Edward Moringe Sokoine wakati alipokwenda kutoa pole kwa familia hiyo imeondokewa  na Lazaro Edward Sokoine jijini Dar es salaam, Machi 29, 2020. Kutoka kushoto ni Balozi Joseph Sokoine ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais, Halima Jama, Mama Napono Sokoine , Christina Towo Sokoine na Kulia ni Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Kivuyo Lemburs
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi Joseph Sokoine (katikati) na Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Kipuyo Lemburs wakati alipotoa pole kwa familia ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania,  Hayati Edward Moringe Sokoine ambayo imeondokewa na Lazaro Edward Sokoine, jijini Dar es salaam Machi 29, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi Joseph Sokoine (katikati) na Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Kipuyo Lemburs wakati alipotoa pole kwa familia ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania,  Hayati Edward Moringe Sokoine iliyoondokewa na Lazaro Edward Sokoine jijini Dar es salaam Machi 29, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...