kamati ya ulinzi na usalama  ikifanya ziara katika maeneo mbali mbali ya Unguja ikiwa na lengo la kuangalia ni kwa kiasi gani wananchi wanafata maagizo ya serikali katika kupambana na maradhi ya Corona ziara hiyo ilianzia Soko la Mwanakwerekwe,Darajani na kumalizikia bandarini mMjini Zanzibar.



Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...