PMO Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe
wa Kamati Maalum aliyoiunda kwa ajili ya kuimarisha zao la Mkonge.
Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini
Dodoma, Aprili 8, 2020. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Naibu Waziri wa Kilimo,
Omary Mgumba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...