Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo(kulia) akimsikiliza Mkuu wa Mauzo Vodacom Kanda ya Kaskazini, George Venanty(mwenye fulana nyekundu) wakati kampuni ya Vodacom Tanzania PLC kupitia asasi isiyo ya kiserikali ya Vodacom Tanzania Foundation walipokabidhi vifaa vyenye thamani ya zaidi ya  shilingi 42 milioni kwa ajili ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti) kwenye hospitali ya Muriet mkoani humo ili kuwapa uwezo wa kupumua,kuongeza joto na kuwapa tiba mwanga . Katikati yao ni Mganga mkuu wa jiji la Arusha, Dkt. Kheri Kagya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...