Mfanyabiashara wa kuuza, kuchana na kuranda mbao wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza
akitoa maoni yake kwa Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) Bw. Lazaro Mafie wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea
mkoani humo.
Mfanyabiashara wa kuuza, kuchana na kuranda mbao wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza
akitoa maoni yake kwa Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania
(TRA) Bw. Lazaro Mafie wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea
mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Patrick Massawe
akimuelimisha Mfanyabiashara wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza anayejishughulisha
na uuzaji wa mbao wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Kissa
Kejo akisikiliza maoni ya Mfanyabiashara wa eneo la Uhuru Jijini Mwanza wakati
wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lazaro Mafie akimuelimisha
Mfanyabiashara wa eneo la Kisesa Jijini Mwanza kuhusu masuala mbalimbali
yanayohusu kodi wakati wa Kampeni ya Elimu kwa Mlipakodi inayoendelea mkoani humo.PICHA
ZOTE NA VERONICA KAZIMOTO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...