. Muonekano wa chumba
cha upasuaji katika kituo cha afya Bunda mjini baada ya kuboreshwa na Serikali ya Awamu ya Tano kwa gharama ya
shilingi milioni 500 kwa kujengewa majengo mapya na vifaa tiba vya kisasa.
PIX2. Sehemu ya
majengo ya kituo cha Afya
Bunda mjini mkoani Mara baada ya kuboreshwa na kuanza kutoa huduma za
upasuaji kwa wananchi wa mji huo na maeneo ya jirani. (Picha na
MAELEZO).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...