Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (kushoto) akipokea salamu ya kijeshi  wakati alipowasili mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi ikiwemo kuzungumza na maofisa na askari wa vyeo mbalimbali kuhusiana na maandalizi ya kuelekea kwenye uchaguzi mkuu
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na baadhi ya askari wa Jeshi hilo wakati alipowasili mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...