Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio,
akizungumza na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara hiyo (hawapo pichani)
katika Kikao cha Maandalizi ya Mpango Kazi na Mtiririko wa Fedha kwa
Wizara hiyo (Fungu 51) Mwaka 2020/2021. Kikao hicho kimefanyika leo
katika Ofisi za Wizara hiyo Jijini Dodoma.Baadhi
ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio (hayupo
pichani) walipokuwa katika Kikao cha Maandalizi ya Mpango Kazi na
Mtiririko wa Fedha kwa Wizara hiyo (Fungu 51) Mwaka 2020/2021. Kikao
hicho kimefanyika leo katika Ofisi za Wizara hiyo Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio (Meza
Kuu) walipokuwa katika Kikao cha Maandalizi ya Mpango Kazi na Mtiririko
wa Fedha kwa Wizara hiyo (Fungu 51) Mwaka 2020/2021. Kikao hicho
kimefanyika leo katika Ofisi za Wizara hiyo Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Kushughulikia Malalamiko, Albert Nyamhanga
(Kulia) akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, Christopher Kadio (hayupo pichani) kwenye Kikao cha Maandalizi ya
Mpango Kazi na Mtiririko wa Fedha kwa Wizara hiyo (Fungu 51) Mwaka
2020/2021, Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi za Wizara hiyo
Jijini Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa
Rasilimaliwatu, Emmanuel Kayuni.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Sheria, Marlin Komba (Wa kwanza
kushoto) akifafanua jambo mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (hayupo pichani) kwenye Kikao cha
Maandalizi ya Mpango Kazi na Mtiririko wa Fedha kwa Wizara hiyo (Fungu
51) Mwaka 2020/2021, Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi za Wizara
hiyo Jijini Dodoma.Baadhi
ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Christopher Kadio (hayupo
pichani) walipokuwa katika Kikao cha Maandalizi ya Mpango Kazi na
Mtiririko wa Fedha kwa Wizara hiyo (Fungu 51) Mwaka 2020/2021. Kikao
hicho kimefanyika leo katika Ofisi za Wizara hiyo Jijini Dodoma.
Home
HABARI
TAARIFA
KADIO AFANYA KIKAO CHA KUPITISHA MPANGO KAZI NA MTIRIRIKO WA FEDHA WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ( FUNGU 51) KWA MWAKA 2020/2021
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...