Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (katikati) katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) walioongozwa na Mwakilishi wa Mkazi Tanzania kutoka Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine Musisi (watatu kulia) baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo ofisini kwake Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akimkaribisha Mwakilishi wa Mkazi Tanzania kutoka Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine Musisi ofisini kwake Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Tanzania kutoka Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine Musisi alipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akimsikiliza Mwakilishi wa Mkazi Tanzania kutoka Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine Musisi (wapili kulia) alipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dodoma. Wengine ni wageni kutoka UNDP na Maafisa wa ofisi ya Bunge
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kushoto) akifurahia jambo na Mwakilishi wa Mkazi Tanzania kutoka Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine Musisi baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo ofisini kwake Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...