Katibu wa Bunge,
Ndg. Stephen Kagaigai (katikati) katika picha ya pamoja na ugeni kutoka
Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) walioongozwa na Mwakilishi
wa Mkazi Tanzania kutoka Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP),
Ndg. Christine Musisi (watatu kulia) baada ya mazungumzo yaliyofanyika
leo ofisini kwake Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen
Kagaigai (kulia) akimkaribisha Mwakilishi wa Mkazi Tanzania kutoka Mradi
wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine Musisi ofisini
kwake Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen
Kagaigai (kulia) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Tanzania kutoka
Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine Musisi
alipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen
Kagaigai (kulia) akimsikiliza Mwakilishi wa Mkazi Tanzania kutoka Mradi
wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine Musisi (wapili
kulia) alipomtembelea leo ofisini kwake Jijini Dodoma. Wengine ni wageni
kutoka UNDP na Maafisa wa ofisi ya Bunge
Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen
Kagaigai (kushoto) akifurahia jambo na Mwakilishi wa Mkazi Tanzania
kutoka Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndg. Christine
Musisi baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo ofisini kwake Jijini
Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...