Na Dixon Busagaga,Moshi
Miongoni mwa waliochukua fomu kutafuta ridhaa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa Jimbo la Vunjo ni kijana na kada mtiifu wa CCM ,Victor Anold Makundi akiwa na umri wa miaka 26 pekee miongoni mwa makada wengine 30 waliojitokeza kuchukua fomu akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi mtendaji wa zamani wa Benki ya CRDB ,Dkt Charles Kimei anayetoka kata ya Mamba Kaskazini.
Miongoni mwa waliochukua fomu kutafuta ridhaa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa Jimbo la Vunjo ni kijana na kada mtiifu wa CCM ,Victor Anold Makundi akiwa na umri wa miaka 26 pekee miongoni mwa makada wengine 30 waliojitokeza kuchukua fomu akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi mtendaji wa zamani wa Benki ya CRDB ,Dkt Charles Kimei anayetoka kata ya Mamba Kaskazini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...