Timu ya Wafanyakazi wa Benki ya CRDB inayotoa huduma katika Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2020) yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. Nyerere, jijini Dar es salaam wakiwa katika picha ya pamoja.
Afisa Mwandamizi wa Benki ya CRDB, Mary Samuel akimueleza jambo mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Benki ya CRDB katika Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2020) yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. Nyerere, juu ya huduma ya "Popote Inatiki".
Afisa wa Benki ya CRDB, Gabriel Khatib akimsikiliza mmoja wa wateja wa Benki hiyo aliyetembelea kwenye banda lao Maonesho ya 44 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2020) yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. Nyerere, jijini Dar es salaam leo.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...