Na Emmanel Massaka wa Michuzi Tv
WAJASIRIAMALI wa matunda katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam wameeleza kuwa kwa sasa matunda yameongezeka, huku wakibainisha wazi bei ambazo wanauza kwa wateja wao.
Wakizungumza leo na Michuzi Blog jijini Dar es Salaam wajasiriamali hao kuhusu bei ya matunda katika maeneo yao ya biashara. Bei hizo ni kama ilivyo hapo chini.Bei ya Embe katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam ni kati ya Sh.500 hadi Sh.1000. Bei ya Machungwa katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam yanauzwa kati ya sh. 50 hadi 100.Bei ya Tikitiki maji ni katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam ya Sh.1500 hadi Sh. 3500.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...