Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akinawa mikono kama moja ya njia za kujikinga na Ugonjwa wa Corona mara alipotembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu. 
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akipata maelezo mbali mbali kutoka kwa maafisa wa Tigo kuhusu huduma na ofa mbalimbali Katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya nyakabindi Mkoa wa Simiyu. 
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akizungumza na maofisa wa Tigo mara alipotembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu.
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akisikiliza maelekezo kutoka kwa ofisa kutoka Moja ya Mabanda ya bodi za kilimo mapema leo alipotembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akipata maelezo kuhusu Ofa mbali mbali zinazotolewa katika Banda la Tigo mara alipotembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu.
Burudani zikiendelea katika jukwaa la Tigo wakati wa Maonesho ya Nane Nane yakiendelea katika vivanda via Nyakabindi Mkoani Simiyu .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...