Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt.
Hamisi Kigwangalla akitoa tuzo za TANAPA 2020 kwa watoa huduma za
utalii Bora kwa mwaka 2020 jijini Arusha leo.
Waziri wa Maliasili na Utalii,
Dkt. Hamisi Kigwangalla akitoa Tuzo ya utoaji huduma za Utalii ya TANAPA
2020 kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Ahsante Tours, Cuthbert Swai leo
jijini Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii,
Dkt. Hamisi Kigwangalla akitoa Tuzo ya utoaji huduma Bora za Utalii ya
TANAPA 2020 kwa Mmiliki na Mwanzilishi wa Kampuni ya Zara Tours, Zainab
Ansell leo jijini Arusha. Wengine wanaoshuhudia Kutoka kushoto ni Katibu
Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki, Mwenyekiti wa
Bodi ya Wadhamini ya TANAPA, Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George
Waitara na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Allan
Kijazi.
Waziri wa Maliasili na Utalii,
Dkt. Hamisi Kigwangalla akifurahia jambo huku akiwa ameshika moja ya
Tuzo alizokua akitoa kwa watoa huduma bora za utalii wa sekta binafsi
leo jijini Arusha.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili
na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki akizungumza na wadau wa sekta ya Utalii
wakati wa hafla ya Utoaji wa Tuzo za Utalii za TANAPA kwa mwaka 2020 leo
jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya
TANAPA, Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara akizungumza na
wadau wa sekta ya Utalii wakati wa hafla ya Utoaji wa Tuzo za Utalii za
TANAPA kwa mwaka 2020 leo jijini Arusha.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Maliasili na Utalii ambaye pia ni Kamishina Mkuu wa Uhifadhi wa TANAPA
Dkt. Allan Kijazi akizungumza na wadau wa sekta ya Utalii leo jijini
Arusha wakati wa hafla fupi ya utoaji wa Tuzo za Utalii za TANAPA 2020
jijini Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt.
Hamisi Kigwangalla akiangalia moja ya Tuzo za TANAPA 2020 alizokua
akitoa kwa wadau wa sekta ya Utalii leo jijini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili
na Utalii Dkt. Aloyce K. Nzuki akielezea faida ya Tuzo za TANAPA za
utalii kwa wadau waliohudhuria tuzo za TANAPA za Utalii kwa Mwaka 2020,
zilizofanyika mapema leo Jijini Arusha..
Waziri wa Maliasi na Utalii Dkt.
Hamisi Kigwangalla (wapili kushoto) akifurahia jambo na Katibu Mkuu wa
Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce K. Nzuki (kushoto), Naibu
Katibu Mkuu Wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Allan Kijazi (kulia)
na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya TANAPA Jenerali Mstaafu George
Waitara (wapili kulia) wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo za Utalii za
TANAPA Jijini Arusha.
Waziri wa
Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akitoa tuzo za utalii za
TANAPA 2020 kwa mwakilishi wa kampuni ya Leopard Tour E. Kimario jijini
Arusha leo.
PICHA/Aron Msigwa – WMU.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...