Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwakabidhi nakala ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini, Jasson Rweikiza katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Rubale, Kata ya Rubale, Jimbo la Bukoba Vijnijnini, Septemba 28, 2020. Katikati ni Diwani wa Kata ya Rubale, Renatus Rwegasira(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Bukoba Vijijini, katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Rubale, Kata ya Rubale, Jimbo la Bukoba Vijnijnini,
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...