RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akionesha Kitabu cha “Zanzibar Business Enabling Environment 2020” baada ya kukizindua wakatika wa hafla ya Jukwaa la Kumi na Moja (11) la Biashara Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akionesha Kitabu cha “Zanzibar Business Enabling Environment 2020” baada ya kukizindua rasmin katika hafla ya Mkutano wa Jukwaa la Kumi na Moja (11) la Biashara Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini
Zanzibar na (kulia kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Amina Salum Ali
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Zanzibar (ZNBC) Ndg. Taufiq Salim Turkry akitowa salamu za Jumuiya katika hafla ya mkutano wa Jukwaa la Kumi na Moja (11) la Biashara Zanzibar lililofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini
Zanzibar.
WAJUMBE wa Mkutano wa Jukwaa la Biashara Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Mwenyekiti wa Jukwaa la Biashara Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohameds Shein.(hayupo pichani) mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
WAJUMBE wa Mkutano wa Jukwaa la Kumi na Moja (11) la Biashara Zanzibar wakiwa wamesimama kwa dakika moja kumuombea dua Mfanyabiashara Maaruf Zanzibar Salim Turkry , kabla ya kuaza kwa jukwaa hilo lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na Viongozi wa meza kuu wakiwa wamesimama wakimuombea dua Mfanyabiashara Maaruf Zanzibar Marehemu Salim Turkry, wakati wa mkutano wa Jukwaa la Kumi na Moja (11) la Biashara Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akihutubia na kulifungua Jukwaa la Kumi na Moja (11) la Biashara Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...