Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akimuombea kura mgombea Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wa CCM katika mkutano wa kampeni aliouhutubia kwenye uwanja wa mpira wa Njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi
Mke wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Mama Mary Majaliwa akimuombea kura mgombea Urais wa CCM, Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika Mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa mpira wa Njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi
Msanii, Peter Msechu akiimba katika mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa Mpira wa Njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi
Msanii, Kala Geremiah akiimba katika mkutano wa Kampeni uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa Mpira wa njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ndanda wakifurahia wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa alipotaja huduma mbalimbali zilizoboreshwa na serikali katika Shule yao na shule nyingi za Mkoa wa Mtwara. Mheshimiwa Majaliwa alikuwa akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Mpira wa Njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi, Oktoba 20, 2020
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...