Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akimuombea kura mgombea Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wa CCM katika mkutano wa kampeni  aliouhutubia kwenye  uwanja wa mpira wa Njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi 

 

Mke wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Mama Mary Majaliwa akimuombea kura mgombea  Urais wa CCM, Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika Mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa  kwenye uwanja wa mpira wa Njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi

Msanii, Peter Msechu akiimba katika mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa Mpira wa Njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi 

 Msanii, Kala Geremiah akiimba katika mkutano wa Kampeni uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa Mpira wa njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi

 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ndanda wakifurahia wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa alipotaja huduma mbalimbali zilizoboreshwa na serikali katika  Shule yao na shule nyingi za Mkoa wa Mtwara. Mheshimiwa Majaliwa alikuwa akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa  Mpira wa Njenga uliopo Ndanda wilayani Masasi, Oktoba 20, 2020

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...