Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono Wananchi wa Hai mara baada ya kuwasili Bomang’ombe Hai mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za CCM leo tarehe 22 Oktoba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Hai mkoani Kilimanjaro katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika Bomang’ombe leo tarehe 22 Oktoba 2020.
Sehemu ya Wananchi wa Hai waliohudhuria mkutano wa
Kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe.
Dkt. John Pombe Magufuli Hai mkoani Kilimanjaro leo tarehe 22 Oktoba
2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...