Meza
kuu ikiimba Nyimbo ya Chama mara baada ya Katibu Mkuu wa Chama Cha
Mapinduzi Dkt Bashiru Ally Kakurwa alipowasili katika Ukumbi wa
Halmashauri kuu ya CCM Leo jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi
Dkt Bashiru Ally Kakura akizungumza na Viongozi wa jumuiya za CCM
Wakati wa kufunga Semina ya Siku mbili ya Viongozi wa Jumuiya zote za
CCM iliyofanyika katika Ukumbu wa White House Jijini Dodoma
Katibu
Mkuu wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi Mwl Raymond Mwangwala
akizungumza wakati wa Kuwasilisha taarifa mbalimbali za Jumuiya hiyo.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komred Kheri D James akizungumza Semina ya Siku mbili ya Viongozi wa Jumuiya zote za CCM iliyofanyika katika Ukumbu wa White House Jijini Dodoma
Washiriki Wasemina hiyo wakifuatilia
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania akizungumza katika
Semina ya Siku mbili ya Viongozi wa Jumuiya zote za CCM iliyofanyika
katika Ukumbu wa White House Jijini Dodoma
Katibu wa Idara ya Oganaizesheni wa Chama cha Mapinduzi Ndg
Pereila Silima akitoa ufafanuzi wa jambo katika Semina ya Siku mbili ya
Viongozi wa Jumuiya zote za CCM iliyofanyika katika Ukumbu wa White
House Jijini Dodoma
Katibu Mkuu wa CCM Dkt
Bashiru Ally Kakurwa (kulia) akimkabidhi kitabu Cha ilani ya CCM YA
2020-2025 pamoja na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Komred Kheri James kwa niaba ya
Viongozi wote wa UVCCM kwa ajili ya ufuatiliaji na usimamizi wa ahadi za
CCM.
Katibu
Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa (kulia) akimkabidhi kitabu Cha
ilani ya CCM YA 2020-2025 pamoja na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM kwa
niaba ya Viongozi wote wa UVCCM kwa ajili ya ufuatiliaji na usimamizi wa
ahadi za CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru
Ally Kakurwa (kulia) akimkabidhi kitabu Cha ilani ya CCM YA 2020-2025
pamoja na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Makamu
Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi wa CCM Komred Kheri James kwa niaba ya
Viongozi wote wa UVCCM kwa ajili ya ufuatiliaji na usimamizi wa ahadi za
CCM. (PICHA ZOTE NA UVCCM)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...