Meza kuu ikiimba Nyimbo ya Chama mara baada ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dkt Bashiru Ally Kakurwa alipowasili katika Ukumbi wa Halmashauri kuu ya CCM Leo jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dkt Bashiru Ally Kakura akizungumza na Viongozi wa jumuiya za CCM Wakati wa kufunga Semina ya Siku mbili ya Viongozi wa Jumuiya zote za CCM iliyofanyika katika Ukumbu wa White House Jijini Dodoma

 

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi Mwl Raymond Mwangwala akizungumza wakati wa Kuwasilisha taarifa mbalimbali za Jumuiya hiyo.

 

 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komred Kheri D James akizungumza  Semina ya Siku mbili ya Viongozi wa Jumuiya zote za CCM iliyofanyika katika Ukumbu wa White House Jijini Dodoma

 

Washiriki Wasemina hiyo wakifuatilia

 

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania akizungumza katika  Semina ya Siku mbili ya Viongozi wa Jumuiya zote za CCM iliyofanyika katika Ukumbu wa White House Jijini Dodoma

 

Katibu wa Idara ya Oganaizesheni wa Chama cha Mapinduzi Ndg Pereila Silima akitoa ufafanuzi wa jambo katika  Semina ya Siku mbili ya Viongozi wa Jumuiya zote za CCM iliyofanyika katika Ukumbu wa White House Jijini Dodoma

Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa (kulia) akimkabidhi kitabu Cha ilani ya CCM YA 2020-2025 pamoja na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Komred Kheri James kwa niaba ya Viongozi wote wa UVCCM kwa ajili ya ufuatiliaji na usimamizi wa ahadi za CCM.
 Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa (kulia) akimkabidhi kitabu Cha ilani ya CCM YA 2020-2025 pamoja na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM  kwa niaba ya Viongozi wote wa UVCCM kwa ajili ya ufuatiliaji na usimamizi wa ahadi za CCM.

Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally Kakurwa (kulia) akimkabidhi kitabu Cha ilani ya CCM YA 2020-2025 pamoja na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi wa CCM Komred Kheri James kwa niaba ya Viongozi wote wa UVCCM kwa ajili ya ufuatiliaji na usimamizi wa ahadi za CCM. (PICHA ZOTE NA UVCCM)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...