Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akiongozana na Mhandisi Neema Mushi Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco/ wakati  alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Neema Mushi Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco wakati  alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Neema Mushi Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco wakati  alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26 kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Bi.Sarah Msafiri.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akioneshwa transfoma kubwa ya umeme na Mhandisi Neema Mushi Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco  wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akioneshwa mitambo mbalimbali ya kupoza umeme iliyofungwa kwenye kituo hicho na Mhandisi Neema Mushi Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco wakati  alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akioneshwa mifumo mbalimbali inayofungwa katika kituo hicho cha  kupoza umeme  na Mhandisi Neema Mushi Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco wakati  alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26.

Baadhi ya mitambo iliyofungwa katika kituo hicho inavyoonekana.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato pia ametembelea mitambo ya kufua umeme wa gesi Kinyerezi II na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa katika mitambo hiyo.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akipokea taarifa ya uzalishaji katika mitambo hiyo.

Mhandisi Innocent Luoga akimuongoza Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato wakati alipokuwa akitembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Kinyerezi II.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...