.Ibada ya kuwawekea mikono wazee wa Makanisa ya Waadventista Wasabato wa Mtaa wa Karagwe, Ibada hiyo imeongozwa na Mchungaji wa Mtaa wa Nkwenda, Mch. Ibrahimu Rwehinda akisaidiana na Mchungaji wa Mtaa wa Karagwe, Mch. Fanuel Mtura katika kanisa la Wadventsta Wasabato Kayanga Karagwe Kagera. Leo Februali 27, 2021.
Mchungaji wa Mtaa wa Nkwenda wa Kanisa la Waadventista Wasabato, Mch. Ibrahimu Rwehinda akihubiri katika ibada katika Kanisa la Waaadventista Wasabato la Kayanga baada ya kuwawekea mikona Wazee wa Kanisa, Mashemasi na Viongozi wa kanisa wa waka 2021 katika kanisa la Wadventsta Wasabato Kayanga Karagwe Kagera. Leo Februali 27, 2021.Picha zote na Eliud Rwechungura.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...