Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mwl. Jabir Nuhu Mruma amewasili  Mkoani Kagera kwa Ziara ya Kikazi ikiwa no Sambamba na Kuhudhuria Maulid na Harambee iliyoandaliwa na BAKWATA Kagera kwa Kushirikiana na Akina Mama wa Kiislamu wa Kamachumu.

Akina Mama hao wa Kikundi cha Fiisabilillah wameandaa Maulidi na Harambee hiyo maalumu kwa ajili ya Kuchangia Ujenzi wa Shule ya Msingi ya Kamachumu Islamic English Medium Primary iliyopo Kamachumu. Tukio Hilo linafanyika kesho Jumamosi katika Viwanja vya Shule hiyo Ambapo watu wote Dini zote wamealikwa kuunga Mkono juhudi hizo.  Katibu Mkuu BAKWATA kapokelewa Uwanja wa Ndege na Viongozi mbalimbali wa Dini wakiongozwa na Sheikh Mkuu wa mMkoa Kagera Alhaji Kichwabuta





 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...