Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Liberata Mulamula kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa. Ameshika nafasi ya aliyekuwa waziri wa wizara hiyo, Profesa Paramagamba Kabudi.
Home
HABARI
JAMII
BALOZI LIBERATA ATEULIWA KUWA WAZIRI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...