Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mheshimiwa Innocent
Bashungwa pamoja na Wakuu wa Wizara wamemkaribisha rasmi Naibu waziri
Mheshimiwa Pauline Gekul kuanza kazi rasmi baada ya Rais Samia Suluhu
Hassan kumhamisha kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Mheshimiwa Pauline
Gekul alisaini kitabu cha wageni katika ofisi yake pia kutembelea ofisi
ya Waziri na baadae alikutana na viongozi wa wizara na kufanya nao
mazungumzo ya ndani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-thane
ReplyDeletehttps://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-jalgaon
https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-kalyan-dombivli
https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-sangli
https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-malegaon