Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mheshimiwa Innocent Bashungwa pamoja na Wakuu wa Wizara wamemkaribisha rasmi Naibu waziri Mheshimiwa Pauline Gekul kuanza kazi rasmi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumhamisha kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Mheshimiwa Pauline Gekul alisaini kitabu cha wageni katika ofisi yake pia kutembelea ofisi ya Waziri na baadae alikutana na viongozi wa wizara na kufanya nao mazungumzo ya ndani.











 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-thane

    https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-jalgaon

    https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-kalyan-dombivli

    https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-sangli

    https://www.addyourlogoapp.com/forum/new-features/91-9116799099-love-problem-solution-baba-ji-malegaon

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...