Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiweka Shada la Maua katika Kaburi la Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Abeid Amani Karume mara baada ya Dua iliyofanyika katika Ofisi Kuu za Chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui Zanzibar leo tarehe 07 April 2021 katika Siku ya Kumbukumbu ya (Karume Day).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Zanzibar Hussein Ali Mwinyi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, pamoja na Viongozi wengine wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiomba Dua mbele ya Kaburi la Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Abeid Amani Karume katika Ofisi Kuu za Chama cha Mapinduzi CCM Kisiwandui Zanzibar leo tarehe 07 April 2021 katika Siku ya Karume Day.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara baada ya Dua Maalumu ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Abeid Amani Karume katika siku ya Kumbukumbu ya Karume (Karume Day) iliyofanyika leo tarehe 07 April 2021 katika Ofisi Kuu za Chama cha Mapinduzi CCM Kisiwandui Zanzibar.  

Mhe Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili ofisi za Chama cha Mapinduzi  CCM Kisiwandui  mahali alipozikwa  Hayati Rais   Abeid Amani Karume Rais wa kwanza wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar , ambapo leo imefanyika Dua maalum ya kumuombea  katika siku ya kumbukumbu yake.

Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mpinduzi Mhe Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwasili ofisi za Chama cha Mapinduzi  CCM Kisiwandui  mahali alipozikwa  Hayati  Rais Abeid  Amani Karume,Rais wa kwanza wa serikali ya mapinduzi Zanzibar  ambapo leo imefanyika Dua maalum ya kumuombea  katika siku ya kumbukumbu yake.

Mhe rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki  Dua  maalumu ya kumuombea Hayati rais   Abeid Amani  Karume Rais wa kwanza wa serikali ya mapinduzi Zanzibar   katika siku ya kumbukumbu yake. katika ofisi za Chama cha Mapinduzi  CCM Kisiwandui  mahali alipozikwa,leo April 7, 2021 .

Mhe Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na  Mjane wa Hayati Rais Abeid Aman Karume  Mama Fatuma Karume , wakati alipowasili kwenye   Dua  maalumu ya kumuombea Hayati Rais   Abeid Amani Karume,Rais wa kwanza wa serikali ya mapinduzi Zanzibar   katika siku ya kumbukumbu yake. katika ofisi za Chama cha Mapinduzi  CCM Kisiwandui  mahali alipozikwa,leo April 7, 2021 .

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ,Mke wa Rais wa serikali ya Mapinduzi Zanziba Dkt. Hussein  Ali Mwinyi , Mama Mariam Mwinyi,  na Katibu mkuu Kiongozi wa serikali ya mapinduzi Zanzibar Mhandisi Zena Ahmed Said wakishiriki  Dua  maalumu ya kumuombea Hayati Rais Abeid  Amani Karume,Rais wa kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar   katika siku ya kumbukumbu yake, katika ofisi za Chama cha Mapinduzi  CCM Kisiwandui  mahali alipozikwa,  leo April 7, 2021 .

PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...