JOSEPH MPANGALA  -IRINGA

 

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameitaka kampuni SINO HYDRO ya Inayotekeleza ujenzi wa Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Iringa Kuhakikisha inakamilisha ujenzi huo kwa Viwango na wakati kutokana Pesa zote kukamilishwa kupewa.

Hapi ameyasema hayo alipotembelea Mradi wa ujenzi Huo Unaogharimu Shilingi Billion 41 na unatarajiwa Kukamilika June 23 mwaka 2022.

 “Wakandarasi wababaishaji natakanitume salam kwao hawatakuwa na nafasi kwenye Mkoa wetu wa Iringa na hawatakuwa na nafasi kwenye serikali hii habari za kuomba kuongezewa muda kuchelewesha miradi,kufanya miradi chini ya kiwango hayo hayatakuwa na nafasi tutakuwa wakali zaidi tulivyokuwa jana”Ally Hapi wakati akikagua Mradi wa Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Iringa

Awali Ujenzi huo Ulisimama kutokana na Kuchelewa kwa Malipo ya Fidia za Mali za  wakazi wa kata ya Nduli ambapo Ujenzi Huo Unafanyika.







 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...