Dkt. Orest Masue, Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Shahada za Awali Chuo Kikuu Mzumbe, akitoa maelezo kwa vijana walioonyesha nia ya  kujiunga  na mafunzo ya Elimu ya Juu katika  Chuo Kikuu Mzumbe  wenye Maonyesho ya Vyuo Vikuu yanayoendelea.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chuo Kikuu Mzumbe, Bi. Rose Joseph, akitoa maelezo kwa wahitimu wa kidato cha sita waliotembelea banda la Chuo Kikuu Mzumbe kwenye Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.








Maafisa  Udahili wa Chuo Kikuu  Mzumbe  wakitoa huduma ya udahili wa moja kwa moja (online registration) kwa waombaji waliofika banda la Chuo Kikuu Mzumbe katika maonesho ya Vyuo Vikuu yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...