Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii, Jaji Mohammed Gwae
(wapili kulia), Katibu wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii, Aloyce
Musika (kulia) pamoja na Wajumbe wa Kamati hiyo wakiwa katika picha ya
pamoja baada ya kumaliza Kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika Jijini
Dodoma leo.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii wakiwa katika Kikao cha Kamati hiyo, kilichofanyika leo Septemba 10, 2021, jijini Dodoma.Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Uangalizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Aloyce Musika, ambaye ni Katibu wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii, akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Idara ya Huduma za Uangalizi katika Kikao cha Kamati hiyo, kilichoifanyika, jijini Dodoma, leo.Katibu huyo alisema kuwa katika kipindi cha kuanzia Julai 2020 hadi kufikia Julai 2021, Idara imefanikiwa kuwasajili Wafungwa 3496 na kuwawezesha kutumikia adhabu nje ya magereza hivyo kupunguza msongamano magerezani.
Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii, Jaji Mohammed Gwae, akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii baada ya kutambulishwa kwa Wajumbe kuwa Mwenyekiti mpya wa Kamati hiyo. Kikao hicho kilifanyika leo Septemba 10, 2021, jijini Dodoma. Mwenyekiti huyo aliwaambia Wajumbe wa Kamati hiyo kuwa ni wajibu wao kufuata sheria na kumshauri Mhe. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii wakiwa katika Kikao cha Kamati hiyo, kilichofanyika leo Septemba 10, 2021, jijini Dodoma.Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Uangalizi, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Aloyce Musika, ambaye ni Katibu wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii, akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Idara ya Huduma za Uangalizi katika Kikao cha Kamati hiyo, kilichoifanyika, jijini Dodoma, leo.Katibu huyo alisema kuwa katika kipindi cha kuanzia Julai 2020 hadi kufikia Julai 2021, Idara imefanikiwa kuwasajili Wafungwa 3496 na kuwawezesha kutumikia adhabu nje ya magereza hivyo kupunguza msongamano magerezani.
Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii, Jaji Mohammed Gwae, akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii baada ya kutambulishwa kwa Wajumbe kuwa Mwenyekiti mpya wa Kamati hiyo. Kikao hicho kilifanyika leo Septemba 10, 2021, jijini Dodoma. Mwenyekiti huyo aliwaambia Wajumbe wa Kamati hiyo kuwa ni wajibu wao kufuata sheria na kumshauri Mhe. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...