Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mhe.Christina Mndeme akihutubia wakazi wa shina na 3,Newala mkoani Mtwara ikiwa siku ya kwanza ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo pamoja na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ikiwa na lengo la kukagua,kusimamia na kuhimiza utekelezaji wa utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020 - 2025. (Picha na Adam Mzee / CCM Makao Makuu).





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...