Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo, amewasamehe Vijana wa JKT waliofukuzwa makambini April 12,2021 kutokana na utovu wa nidhamu "JWTZ ina taarifa Kijana mmoja kati ya wale Vijana 854 waliofukuzwa amefariki na walio hai ni 853, imeamuriwa Vijana wote 853 warudi makambini"

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...