Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), amemtembelea na kuzungumza na Mjane wa aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano hayati Dkt. John Magufuli, Mama Janeth Magufuli nyumbani kwake Wilayani Chato Mkoani Geita leo Machi 16, 2022. 

Spika Dkt. Tulia pia ametembelea kaburi la hayati Magufuli pamoja na kusaini kitabu cha kumbukumbu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...