Mkuu wa Wilaya wa Ubungo, Heri James (wa tatu kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia), Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam, Alhad Mussa Salum pamoja na Mjumbe wa Bodi ya Benki ya CRDB, Dkt. Fred Msemwa wakiwakabidhi sehemu ya sadaka ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Muwakilishi wa Kituo cha kulea Watoto Yatima cha Safina kilichopo Tuangoma, Ashura Mohamed ikiwa ni sadaka iliyotolewa na Benki ya CRDB kwa baadhi ya vituo. Makabidhiano hayo yalifanyika jana baada ya hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja na wadau wake, kwenye viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Julias Nyerere, jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiwaongoza wageni wake, Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam, Alhad Mussa Salum pamoja na Mkuu wa Wilaya wa Ubungo, Heri James kupata futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja na wadau wake.
Mkuu wa Wilaya wa Ubungo, Heri James akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja na wadau wake pamoja na vituo vya watoto yatima iliyofanyika jana kwenye viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Julias Nyerere, jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja na wadau wake pamoja na vituo vya watoto yatima iliyofanyika jana kwenye viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Julias Nyerere, jijini Dar es salaam.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam, Alhad Mussa Salum akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja na wadau wake pamoja na vituo vya watoto yatima iliyofanyika jana kwenye viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Julias Nyerere, jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja na wadau wake pamoja na vituo vya watoto yatima iliyofanyika jana kwenye viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Julias Nyerere, jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Al Barak cha Benki ya CRDB, Rashid Rashid akizungumza katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja na wadau wake pamoja na vituo vya watoto yatima iliyofanyika jana kwenye viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Julias Nyerere, jijini Dar es salaam.
Sehemu ya Wageni walifika kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa wateja na wadau wake.










Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...